You are here: Home Malkia About Malkia

Shujaaz FM

About Malkia

E-mail Print PDF

UMRI Miaka kumi na nne

KIWANGO Ako class eight

MTAA anaishi sides za coast

TABIA Yeye sio msoftie, ni survivor na hastuliwangi.   Anajitegemea , ana vako zake za kufanya vitu ambazo saa  zingine hazibabambangi wasee.   Yeye hu dye nywele ku show yuko tofauti.

MAMBO MENGINE:  Buda ya malkia waliachana na mathake ka bado yeye mdogo. Anaishi na mathake ambaye hushinda akitry kupenya world ya bizna..lakini yeye hutumia ma-back door. .Yeye huwanga ameshikana mpaka hananga time ya kufikiria juu ya Malkia na hiyo story hum bore sana. Anapanga kuwa mse wa media akiwa m-big.

Last Updated ( Saturday, 29 May 2010 14:47 )