UMRI : Miaka kumi na tisa
KIWANGO : Alimada form four 2009
MTAA : Kilomita kumi kutoka jiji
TABIA : Ni mnoma kwa ku-fix vitu za stima. Ana nia, bidii na mpango wa kujijenga.
MAMBO MENGINE: Amekuwa aki repair maredio na ma TV za majirani kutoka kitambo. Tangu form 1 amekuwa akijenga redio station ya underground kwa keja yake na ana iita shujaaz fm- juu ni ya ma-youth heroes. Ili askike, hiyo ubidi apenye kwa ma-redio station zingine kwa hivyo skiza ile radio station unapenda na unaweza mskia.


